Featured
Loading...

Wapiganaji wa IS waelekea Baghdad

Isis
Wapiganaji wa kundi la Islamic State wanaimarisha maeneo waliyoyateka nchini Syria na Iraq.
Wameripoti kuliteka eneo la mp
akani la mwisho lililokuwa likidhibitiwa na serikali.
Nchini Iraq wanaonekana kuvunja ulinzi wa serikali nje ya Habbaniyah,ambapo wapiganaji wa kishia wanakongamana ili kutekeleza mashambulizi.
Wapiganaji hao wa jihadi wanaelekea mashariki karibu na mji wa Baghdad.
wapigani wa shia nchini iraq
Muungano wa waasi wa Syria wakati huohuo unasemekana kuiteka hospitali moja ambapo karibu wanajeshi 150 wazungukwa kwa takriban mwezi mmoja sasa.
Runinga ya serikali ya Syria inasema kuwa wanajeshi hao walisalimu amri.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top