Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimedai hakina muda wa kuwazungumzia Fredy Mpendazoe na Mgana Msindai waliotangaza rasmi kukihama chama hicho jana na kurejea Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa maelezo kuwa kuna mambo mengi ya maana zaidi ya kufanya kwa sasa.
Nini maoni yako, na ungependa kuwaambia nini wawili hawa?
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )