Featured
Loading...

Diamond na Rayvanny wafunga mitaa Posta Dar es Salaam


Wasanii kutokea WCB, Rayvanny na Diamond Platnumz  jana Jumapili October 28, walifunga baadhi ya mitaa Posta Dar es Salaam kutokana na utengenezaji wa video ya wimbo wao mpya.

Tukio hilo lilivuta umati mkubwa wa watu licha ya jana kutokuwa ni siku ya kazi kitu kilichopelekea baadhi ya shughuli kusimama kwa muda.

Bila shaka wimbo huo utakuwa wa tatu kwa Diamond Platnumz kumshirikisha Rayvanny baada ya nyimbo kama Salome na Iyena.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top