Wasanii
kutokea WCB, Rayvanny na Diamond Platnumz jana Jumapili October 28,
walifunga baadhi ya mitaa Posta Dar es Salaam kutokana na utengenezaji
wa video ya wimbo wao mpya.
Tukio hilo lilivuta umati mkubwa wa watu licha ya jana kutokuwa ni siku ya kazi kitu kilichopelekea baadhi ya shughuli kusimama kwa muda.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )