Featured
Loading...

Henry Kilewo Afunguka 'Balozi Juma Mwapachu Alipoondoka Hakujiunga na Chama Chochote Cha Upinzani...Umedharaulika Sana Balozi'


Balozi Juma Mwapachu alipoondoka ccm hakujiunga na chama chochote cha upinzani.
Alibaki NEUTRAL.

Kwa akili yake finyu alidhani viongozi wa chadema watamfuata ili kumwomba ajiunge na chama chetu.

Baada ya kuona hakuna chama kinachomuhitaji,akaamua arudi alikotokea unless otherwise njaa ingemuua na family yake.

Alidhani labda watu wanaoondoka ccm na kutangaza kuisupport chadema wanapewa hela na uongozi wa Chadema kumbe laa.

Huku wamejaa Makamanda tupu hakuna mtu anayeipigia serikali goti kuomba kuishi...bali ni wajibu wa serikali kutekeleza wajibu wake kwa Wananchi...Pole sana huku ni Ukamanda wala hakuna wakukufata ujiunge na Chama...Daaah umedharaulika san Balozi....

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top