Featured
Loading...

Je Mwanamuziki AY Kajiunga Wasafi ? Kama Ulikuwa Hujui Meneja wa Diamond, Sallam, Sasa ni Meneja wa AY Pia

Sallam Sharaf, meneja wa Diamond, sasa ni meneja wa AY pia.
Taarifa hiyo imetangazwa Jumatatu hii na wao wenyewe.

Alianza AY aliyeandika kwenye Instagram:

"Great Team.. My Manager @sallam_sk #Mendez & My Supa Dupa Producer @hermyb Nairobi..Much next…Dar es Salaam #strictlyBusiness.”

Naye Sallam aliandika kwenye Instagram:

"GOODBYE NAIROBI…. Thank You Again…!! And the Good news is @aytanzania he’s under my management. What a Bless to manage THE LEGEND. Don’t Listen to THEY BE INSPIRED.”

Kitu ambacho huenda wengi hawajui ni kwamba Sallam na AY ni washkaji na business partners wa muda mrefu. Wawili hao walikuwa wakifanya biashara pamoja hata kabla ya Sallam kuwa meneja wa Diamond. Huenda sasa wameona ni muhimu kuupeleka ushkaji wao kwenye level nyingine.





Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top