Featured
Loading...

Mwanaume Wangu Nadhani Anajulikana..Nyie Endeleeni Kumpa ‘Kiki’ Mkongo – Wema Sepetu


Staa wa filamu Wema Sepetu, amemkana raia wa Kongo ambaye watu wengi wanadai ana mahusiano naye ya kimapenzi.
Wema na Idris

Kupitia ukurasa wa instagram, Wema Sepetu ameandika.

Sijawahi na sitowahi kuwa na mwanaume Mkongo wa aina yoyote ile, sasa nashangaa watu wameona mimi ndo daraja la kuwapa umaarufu, I’m tired, huyo Apocalypse sijui kitu gani aint my man, I only know him as a friend, So please guys…. Niacheni kidogo tafadhal… Alam-siq.

And ontop of all that I think u all know me by now nikiwa na mtu sijivungi kumtangaza maana huwa I live to please my heart…

Mwanaume wangu nadhani anajulikana… Sasa endeleeni kumpa huyo baba attention sababu yeye nako naona kashaona ni kamchezo kakupatia followers… Na nyie mnampa airtime ya kutosha…. So anaendelea… Ananiudhi na mimi kiukweli hadi napata hasira… But nakaa tu kimya.

Kupitia ujumbe huo inaonyesha huwenda Wema Sepetu bado yupo kwenye mahusiano na Idris Sultan licha ya taarifa kwenye mitandao ya kijamii kuzagaa kwamba wawili hao ameachana.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top