Featured
Loading...

Picha 4: Basi la abiria lililopata ajali likiwa limebakiza dakika 15 kuingia Dar es salaam

March 13 2016 usiku wa saa moja kumetokea ajali ya basi la Leina Tours lililoanguka maeneo ya Kimara Bucha, Dar es salaam na taarifa rasmi zinasema lilikua likitokea Kahama Shinyanga kuja Dar es salaam ambapo idadi ya waliofariki haijatolewa ila waliojeruhiwa ni zaidi ya 30 na walikimbizwa Mwananyamala Hospitali na Muhimbili.3X6A8409
3X6A8423
3X6A8431


3X6A8440
Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top