Featured
Loading...

Breaking News..Radio Clouds FM Yawarudisha Watangazaji Phina Mango na Masoud Kipanya Kazini

 

Jana kulikuwa na sinto fahamu baada ya tetesi kusemekana kuwa watangazaji maarufu wa kipindi cha Power Breakfirst cha Clouds FM Gerald Hando na PJ Wamefukuzwa kazi, leo tetesi hizo zimezidi kushika mizizi baada ya watangazaji wa zamani wa kipindi hicho Phina Mango na Masoud Kipanya walioacha kazi miaka kadhaa nyuma Kushika nafasi zao...Muda huu nao andika hii habari wako On Air wanatangaza Sambamba na Babra na Fredwaa

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top