Featured
Loading...

HIVI Ndivyo Ugomvi wa P-Square Unamvyomnufaisha Diamond Platnumz


Tangu utokee ugomvi wa kundi maarufu africa psquare kumesababisha huzuni miongoni wa mshabiki wao. Kila mmoja peter na paul wamekuwa wakifanya project binafsi. Hata baada ya kupatana hakuna project ya pamoja waliofanya.

Diamond amewakutanisha kwa mara ya kwanza kwenye project yake, tangu jana wote peter na paul wapo south africa wakishoot video na diamond.
Jana wote wameshare picha wakiwa pamoja wakishoot video hiyo na kuamsha furaha ya mashabiki wao barani africa , na kusubiri kwa hamu kazi hiyo.

Nyimbo hiyo ya diamond inatarajiwa kupata attention kubwa miongoni mwa mashabiki na hii kuendelea kumtangaza zaidi diamond.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top