Featured
Loading...

Kama ni shabiki wa Harmonize hutotaka hizi kazi zake za Dodoma na Mwanza zikupite

Najua kuna watu wangu wao ni damudamu milele na mmiliki wa mdundo  ‘Bado’ Harmonize, Kama hukupata time ya kuitazama show zake za Mwanza April 16 2016 na Dodoma April 23 2016  basi tayari nimekusogezea hapa mwanzo mwisho kuanzi hotelini hadi on stage… Ni ruksa kuzitazama na kuzidondosha comments zako hapo chini ili baadae Harmonize mwenyewe apite kuzisoma.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top