Featured
Loading...

Mwendesha Mashtaka Kataja Makosa Yaliyomfanya Siwema Ahukumiwe Miaka Miwili Jela

Baada ya kuwepo kwa headlines nyingi kuhusu Siwema ambaye ni Mama Mtoto wa msanii wa bongofleva Nay wa Mitego kuhukumiwa miaka miwili jela kwa kile kilichokuwa kinaripotiwa kuwa ni makosa ya kimtandao, ukweli umewekwa wazi baada ya kufanya Exclusive Interview na wakili wa serikali Moris Mtoi, bonyeza play hapa chini kumsikia

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top