Featured
Loading...

PICHA 19: Kwa watu wangu wanaopenda mpangilio wa nyumba za kisasa


n1
Kwa wenzetu nafasi ndio kila kitu, mtu anaweza kuwa na nyumba ndogo lakini alivyoipanga anapata kila kitu tena kwa kuvutia
Nyumba ni mpangilio, nyumba ni mtu mwenyewe…. itategemea wewe unatakaje na unaiwekaje mwisho wa siku ndio unapata kitu unachokihitaji lakini kwanza itapendeza ukiona wengine wamefanyaje ili uibe utundu kutoka kwao, tazama hizi picha hapa chini kama kuna chochote kitakuvutia.
n2
n3
n4
n5
n6
n7
n8
n9
n10
Jiko, dinning na sebule hapohapo na nafasi imebaki…
n12
n14
n15
n16
n28
Hapahapa Tanzania nimeshawahi kuingia dukani na kukuta kitu kama hiki, kama kabati dogo hivi la kuweka viatu kisha unafunga mtu akija haoni kitu
n19
Tulizoea kujiwekea taa za juu lakini hata hii design ya taa za chini kumulika ukuta ni nzuri sana…. na uki-set vizuri hata taa za juu hutozihitaji.
n20
Nyumba inapendeza zaidi nje kama hakuna rangi nyinginyingi na maua mengi, garden simple tu
n21
n22

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top