Stori: Imelda Mtema, Wikienda
KITUKO: Kweli? Mastaa wawili wa Bongo Muvi, Shamsa Ford na Faiza Ally wametamba kuwa wanasherekea maisha ya ‘usingo mama’ wakidai wanalea wenyewe watoto wao bila wazazi wenzao.
KITUKO: Kweli? Mastaa wawili wa Bongo Muvi, Shamsa Ford na Faiza Ally wametamba kuwa wanasherekea maisha ya ‘usingo mama’ wakidai wanalea wenyewe watoto wao bila wazazi wenzao.
Wakizungumza
na Wikienda kwa pamoja wakiwa kwenye viwanja vya bata jijini Dar,
Shamsa na Faiza walidai kuwa, pamoja na wazazi wenzao kukaa pembeni na
kuwaachia majukumu ya kulea, ‘wanainjoi’ na kwamba wao ni mfano wa
wanawake wanaojiamini.
Kwa upande wao, Dick na Sugu hawakupatikana ili kusikia upande wao juu ya ishu hiyo hivyo jitihada zinaendelea.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )