Featured
Loading...

Utata Nyumba Mpya ya Diamond!


Diamondss-2.jpgStaa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’

Dar es Salaam: Habari ‘hot inayotrendi’ kwa sasa ni kuhusu staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kununua mjengo mpya ambapo siku chache baadaye umeibuka utata juu ya mmiliki halali wa nyumba hiyo.
  • MSHANGAO
    Chanzo chanyetisha kumbe Diamond hakuinunua yeye nyumba hiyo.
  • Ijuma lamuanika aliyeinunua.
  • MKWANJA KWA TIFFAH
  • Aliyeinunua asema mkwanja utakaoingia kutokana na nyumba hiyo uingizwe kwenye akaunti ya ‘Tiffah’.
  • DIAMOND ANASEMAJE?
  • Utata mwingine, Diamond adai kununua kwa takribani Sh. mil. 120 wakati dalali alitangaza inauzwa mil.100.
  • Diamond afunguka kila kitu kuhusu, adai yeye ndiye kainunua.
  • Afafanua alivyogharimika mil. 120 kuinunua nyumba hiyo, badala ya mil 100 zinazosemwa .
  • NYUMBA ZA DIAMOND
    Diamond aanika nyumba zake zote ikiwemo ya Sazui.
  • -Chanzo: GPL

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top