Featured
Loading...

Picha14: Shilole alivyoisherehekea siku ya Mama Duniani na Wazee wasiojiweza Mwanza.


Leo May 8, 2016, Ulimwenguni kote tunaadhimisha siku ya Mama Duniani na kila mmoja anaisherehekea hii siku kwa namna yake, wakati wewe ukiwa na Bi mkubwa wako home mnafurahi msaniii wa Bongo Fleva Shilole Mohamed a.k.a Shilole yeye kaamua kwenda kuwatembelea Wazee wasiojiweza kwenye kituo cha Bukumbi Mwanza, kutana na picha za tukio zima.Image00010
Image00001
Image00011
Image00013
Image00008
Image00003
Image00012
Image00002
Image00009
Image00004
Shilole kwenye shangwe na Wazee siku ya Asante Bi Mkubwa.
Image00014
Image00006
Image00015
Kama ulimiss kutazama video ya Shilole alivyokuwa Muhudumu wa Hoteli na  kumtongoza Ray, Hii hapa

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top