Leo
July 21 2016 Naibu katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF, Nassor Mazrui
amekutana na waandishi wa habari ambapo aliulizwa mchakato wa kufungua
kesi katika mahakama ya kimataifa ya ICC ili kudai haki yao kama
walivyosema hapo awali.
Mazrui
amesema kuwa leo au kesho Maalim Seif anatarajiwa kufika katika
mahakama ya kimataifa ya ICC, The Hague nchini Uholanzi katika harakati
zake za kudai haki katika uchaguzi uliofanyika october 2015…….
>>>’naamini
kama si leo au kesho Maalim Seif atakuwa the Hague kwenda kuelezea
namna gani demokrasia ya Zanzibar na Tanzania inavyominywa kwa hivyo
suala la ICC tumelipania na lazima hiyo kesi itakwenda na kila
aliyedhulumiwa, aliyedhulumu atafika katika mahakama ya ICC
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )