Ni kweli kwamba adui hawezi kukueleza udhaifu wako lakini si wakati wote kwani kinachotokea sasa ni chama kuchekwa kwa makosa ya kumteua mtu ambaye anapolinganishwa na Dr Slaa anaonekana kupungukiwa na vingi sana kisiasa.
Licha ya kua tunapinga ila mpaka sasa sisi kama chama bado hutajampata mrithi wakufanana na Dr Slaa hivyo kujikuta kwa sasa chama kinakosa mbinu na mikakati yakujipambanua nakujitangaza kwa wananchi.
Kama CCM watamrudisha Kinana kwenye nafasi yake hapo ndipo tutaacha ubishi kwani kwa uzoefu na mikakati aliokua nayo Kinana ni muda mfupi sana hakuna atakae bisha tena juu ya kupwaya kwa Mashinji.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )