Mzee Makamba anadai kuwa Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana
Kardinali Pengo. Na kwa tafsiri ya kiafrika mtu mwenye laana siku zote
hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. Ayafanyayo huwa kituko kwa
wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.
Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni
kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali
kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )