Featured
Loading...

Magufuli Ashindwa Kumtumbua Kinana


ABDULRAHAMAN Kinana, amekubali kuendelea na wazifa wake wa katibu mkuu.
Taarifa zinasema, Kinana ataendelea kutumikia wazifa huo hadi kufanyika uchaguzi mkuu ujao, Novemba mwaka kesho.

Kwa mujibu wa mtoa taarifa wa gazeti hili, wengine watakaobaki kwenye nyazifa zao, ni Philip Mangula na manaibu makatibu wakuu wote- Bara na Zanzibar.

Habari zinasema, “uamuzi wa kumbakisha Kinana kwenye nafasi yake, haukuwa wa Magufuli. Ni shinikizo la viongozi wakuu wa CCM wakiongozwa na Benjamin Mkapa,” anaeleza mmoja wa viongozi wandamizi wa chama hicho.

Chanzo:Mwanahalisionlin

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top