- Management inayowasimamia imeiambia millardayo.com kwamba wawili hawa pamoja na watu wengine wakati wanavamiwa, walikua kwenye eneo kulikofanyika kikao cha maandalizi ya kazi zilizowapeleka Afrika Kusini kwa siku saba.
- Majambazi hao walikua sita na walikua pia na silaha za moto (bunduki)
- Miongoni mwa vitu walivyoibiwa ni pamoja na simu zao za mkononi ambapo Majambazi hao wakati wote wa tukio waliwanyooshea Bunduki kina Alikiba kuwatisha zaidi na bila kutaka kupoteza muda.
- Baraka Da Prince na Alikiba wote ni wazima wa afya na hawakurudhika na chochote kwenye hilo tukio
- Pamoja na tukio hili kutokea, Baraka na Alikiba hawatosimama kufanya projects zao… wamechukua mapumziko mafupi na kisha wataendelea.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )