Featured
Loading...

Mwanaume Anaye Wabikira Watoto Kwa Kulipwa Malawi..Akamatwa Baada ya Kugundulika ana Ngoma


Eric Aniva aliyeripotiwa wiki iliyopita huwa huingiza fedha kwa kazi ya kuwabikiri wasichana nchini Malawi amekamatwa na polisi nchini humo.

Aniva ambaye ni maarufu kwa jina la Fisi, hulipwa kiasi cha dola 7 na wazazi wa kabila moja huko nchini Malawi kwa ajili ya kuwabikiri watoto wao wa kike wakiamini kuwa mtoto wa kike kuwa na bikira na mkosi.

Baada ya taarifa hiyo kuruka kupitia BBC, Rais wa Malawi, Peter Mutharika kupitia kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Ikulu ya nchi hiyo, Bright Molande aliamuru raia huyo akamatwe kutokana na vitendo hivyo vya uzalilishaji kwa watoto wa kike.

“And since Mr. Eric Aniva confesses to be HIV positive and that he never uses protection in his evil acts against the innocent girls and women, he should further be investigated for exposing the young girls to contracting HIV and further be charged accordingly,” alisema rais Mutharika.
“These practices not only cast a shadow on the hard-earned achievements my Government has made on issues such as violence and HIV prevention but they also go against a vision of development that seeks to ensure that the youth (and in particular young girls), are able to achieve their full potential.”
“Furthermore, these horrific practices although done by a few also tarnish the image of the whole nation of Malawi internationally and bring shame to us all,” aliongeza.
“ Children, girls and women must be cared for, protected and provided every opportunity to survive peacefully and become productive citizens.”

Aniva anakadiriwa kuwabikiri zaidi ya watoto wa kike 104 lakini kubwa zaidi amegundulika kuwa na virusi vya ugonjwa ukimwi na haijulikani ni watoto wangapi tayari amewaambukiza virusi hivyo.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top