- Navy Kenzo,
- Ally Kiba,
- Christain Bella
- Roma,
- ManiFongo,
- Snura,
- Gnako,
- Isha Mashauzi,
- SautiSol,
- Mr Blue,
- Nuh Mziwanda,
- Barnaba
- Adamu Mchumvu
- Quick Rocka
- Juma Nature
- Nay wa Mitego
- Rucky Beby
- Dj D Ommy na wengine
Katika tamasha hilo patakuwa na sehemu ya kawaida ambapo kiingilio kitakuwa ni 10,000/= kwa Mtu mmoja,
Kutakuwa na sehemu maalumu ya VIP ambapo Kiingilio kitakuwa 100,000/= kwa watu wawili
Pia Kutakuwa na Sehemu maalumu kwa ajili ya VVIP ambapo Kiingilio ni 500,000/= Kwa watu wanne
Tickets zitaanza kuuzwa soon katika vituo mbali mbali ambapo tutawatajia muda si mrefu...
Usikose Mtu Wangu ...Ni pale Viwanja vya Posta Sayansi Kuanzia Saa nane mpaka Kuchweeee
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )