Featured
Loading...

TAMASHA La Mwendokasi Festival Kuliteka Jiji la Dar es Salaam Jumamosi Ijayo Tarehe 30 July 2016


Tarehe 30 Mwisho wa mwezi huu wa saba Tanzania kushuhudia mapinduzi ya kiburudani. Tamasha Kubwa la MWENDOKASI FESTIVAL linatarajiwa kufanyika katika Viwanja vya Postal Kijitonyama, Wasanii Wakubwa Mbali mbali wa Bongo Flava watatoa burudani kali mbele ya maelfu ya wakazi wa Dar es salaam , Baadhi ya wasanii ambao watakuwepo ni

  1.  Navy Kenzo,
  2.  Ally Kiba, 
  3. Christain Bella
  4. Roma, 
  5. ManiFongo,
  6.  Snura, 
  7. Gnako, 
  8. Isha Mashauzi, 
  9. SautiSol, 
  10. Mr Blue, 
  11. Nuh Mziwanda, 
  12. Barnaba 
  13. Adamu Mchumvu
  14. Quick Rocka
  15. Juma Nature
  16. Nay wa Mitego
  17. Rucky Beby
  18. Dj D Ommy na wengine
Katika tamasha hilo patakuwa na sehemu ya kawaida ambapo kiingilio kitakuwa ni 10,000/= kwa Mtu mmoja,
Kutakuwa na sehemu maalumu ya VIP ambapo Kiingilio kitakuwa 100,000/= kwa watu wawili
Pia Kutakuwa na Sehemu maalumu kwa ajili ya VVIP ambapo Kiingilio ni 500,000/= Kwa watu wanne
Tickets zitaanza kuuzwa soon katika vituo mbali mbali ambapo tutawatajia muda si mrefu...
Usikose Mtu Wangu ...Ni pale Viwanja vya Posta Sayansi Kuanzia Saa nane mpaka Kuchweeee

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top