Featured
Loading...

Picha: David Moyes akiwafundisha makocha nchini Jordan

Kocha wa zamani wa vilabu vya Everton na Manchester United, David Moyes amepata dili la kuwafundisha makocha wa nchini ya Jordan.
36647FB400000578-3696156-image-a-6_1468865679527
Moyes amekuwa akiwanoa makocha hao wa nchini Jordan ili kuwaongezea ujuzi amekuwa akiwa fundisha na makocha wengine lakini zaidi Moyes amekuwa akiwanoa makocha wa timu za taifa za Jordan.
3664AB1B00000578-0-image-a-2_1468867378862
36647F9A00000578-3696156-image-a-4_1468865657072
36647FA800000578-3696156-image-a-1_1468865626339
36647FB000000578-3696156-image-a-3_1468865648519



Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top