Msanii wa muziki Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amewatoa udenda wakutosha
mashabiki wa muziki wake hivi karibuni baada ya kuwapa nafasi ya kushika
kiono chake.
prima
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake ‘Say My Name’ amefanya tukio hilo katika show yake iliyofanyika Jumamosi iliyopita katika hotel ya Kijiji Beach Kigamboni.
Katika picha mbalimbali ambazo zimesambaa katika mitandao ya kijamii zinamuonyesha muimbaji huyo akishikwashikwa kiuno na mashabiki hao huku wakionyesha kufurahiwa na kitendo hicho.
Pia katika show hiyo muimbaji huyo aliambatana na msanii wake ‘Gaucho’.
Hata hivyo kitendo hicho kimewakasirisha baadhi ya mashabiki wake katika mitandao ya kijamii huku kila mmoja akiongea lake.
prima
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake ‘Say My Name’ amefanya tukio hilo katika show yake iliyofanyika Jumamosi iliyopita katika hotel ya Kijiji Beach Kigamboni.
Katika picha mbalimbali ambazo zimesambaa katika mitandao ya kijamii zinamuonyesha muimbaji huyo akishikwashikwa kiuno na mashabiki hao huku wakionyesha kufurahiwa na kitendo hicho.
Pia katika show hiyo muimbaji huyo aliambatana na msanii wake ‘Gaucho’.
Hata hivyo kitendo hicho kimewakasirisha baadhi ya mashabiki wake katika mitandao ya kijamii huku kila mmoja akiongea lake.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
Filed Under:
WASANII