Kwa upande wake Roma amesema kuwa hakumaanisha kumponda meneja huyo kama watu wengi wanavyodhani bali alitaka kufikisha ujumbe kuwa watu wasisahau walipotoka lakini kwa njia ya kisanii zaidi.
“Tafsiri ya mstari huo ni kwamba tusisahau tulipotoka,ningeweza tu kuandika hivyo lakini kama msanii inabidi niwe mbunifu,ndio nikajenga hiyo picha na ndiyo maana watu wameukumbuka zaidi” alifafanua Roma alipokuwa akihojiwa na HZB TV
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )