Nokia imeripotiwa kuwa kwenye mipango ya kurejea kwenye soko la
smartphone na simu mpya zinazotumia mfumo mpya wa Google, Android
Nougat, version 7.0.
Simu hizo zinatarajiwa kuingia sokoni mwishoni mwa mwezi huu na
zinatarajiwa kuzuia majina vumbi kama simu mpya za Samsung, Galaxy S7,
S7 Edge na S7 Active.