Wolper alitangaza kujiunga na chama hicho tawala Jumamosi iliyopita
kwenye mkutano mkuu uliofanyika Dodoma ambapo pia Rais Dkt John Magufuli
alichaguliwa kuwa mwenyekiti mpya.
Muigizaji huyo alishare kwenye Instagram picha ikimuonesha akimpa mkono Rais mstaafu, Dkt Jakaya Kikwete kwenye mkutano huo.
Picha hiyo hata hivyo imesababisha hasira nyingi kwa mashabiki wake
ambao ni wapenzi wa upinzani huku wakimfananisha na Yuda Iskarioti kwa
madai kuwa amewasaliti Ukawa.
Hizi ni baadhi ya commentsTupe Maoni Yako( Matusi Hapana )