Featured
Loading...

Unaambiwa Asilimia 61 ya Wanaomaliza Elimu ya Juu Tanzania ni Bongo lala...Wanauwezo Mdogo


UTAFITI: Asilimia 61 ya wahitimu wa vyuo vya elimu ya juu wana uwezo mdogo, hawawezi kushindana katika soko la ajira nchini.
Kulingana na utafiti huo imegundulika kuwa vyuo Vikuu vingi vimekuwa haviangalii ubora isipokuwa hufanya Biashara tu.

Je ni Kweli ?

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top