Mtangazji wa kipindi cha Take One cha Clouds Tv amefunguka na kusema
hajutii kitendo kitendo cha yeye kumhoji shoga kwenye television na
kusababisha 'outrage' kutoka kwa wadau mbalimbali mtandaoni na hadharani
Anasema kipindi hicho ndio kiliwafungua watu na kujua kuwa kumbe kuna
tatizo kama hili linaendelea Tanzania na serikali ikaanza kufumbua macho
na kuanza kutoa matamko
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )