Featured
Loading...

Mwanamuziki wa Bongo Fleva apandishwa kizimbani kwa kuimba wimbo wa kichochezi


Mwanamuziki wa Bongo Fleva Fulgency Mapunda maarufu Mwana Cotide amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam kwa tuhuma za kuimba na kusambaza wimbo wenye maudhui ya kichochezi.
Mwana Cotide ameiamba wimbo wenye jina “Dikteta Uchwara” ambao aliusambaza kupitia mtandao wa YouTube kitu ambacho kinavunja sheria ya makosa ya mitandao

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top