Mkutano
wa tisa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) umefanyika mjini Dodoma jana
ambapo miongoni mwa viongozi wengi waliochaguliwa ni pamoja na Wajumbe
wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) ambapo jumla ya wajumbe 15 kutoka
Tanzania wamchaguliwa.
Miongoni
mwa wajumbe hao waliopigiwa kura jana, Stephen Wasira ameongoza kwa
ushindi baada ya kujikusanyia kura 1505 kati ya kura halali 1779.
Wajumbe 15 waliochaguliwa ni,
1. Steven Wassira
2. Jerry Silaa
3. Dr Fenera Mukangara
4. Angel Akilimali
5. Jackson Msome
6. Dr Ibrahim Msengi
7. Theresia Mtewele
8. Mwantumu Zodo
9. Ernest Sungura
10. Deougratius Ruta
11. Eng Burton Kihaka
12. William Sarakikya
13. Richard Charles
14. Anna Msuya
15. Charles Shanda
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )