Featured
Loading...

JB Atoa Tahadhari Kuhusu ya Matapeli Hawa



Tahadhari: kuna watu wametengeneza akaunti feki yenye picha zangu.na wanasema kwamba Jerusalem inahitaji wasanii wapya.na wanawapigia simu watu huku wakiwatoza kiasi cha tsh 45000 hadi laki kama ada ya kujiandikisha.watu hawa ni matapeli.na wamechukua hela nyingi kwa watu.jamani hatuna utaratibu huo na usikubali kutoa pesa...Fb watu wanaitumia vibaya sana..

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top