Tahadhari:
kuna watu wametengeneza akaunti feki yenye picha zangu.na wanasema
kwamba Jerusalem inahitaji wasanii wapya.na wanawapigia simu watu huku
wakiwatoza kiasi cha tsh 45000 hadi laki kama ada ya kujiandikisha.watu
hawa ni matapeli.na wamechukua hela nyingi kwa watu.jamani hatuna
utaratibu huo na usikubali kutoa pesa...Fb watu wanaitumia vibaya sana..
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )