Staa mkongwe wa Bongo Movies, Mahsein
Awadh ‘Dokta Cheni’ amewashukuru mashabiki na wapenzi wa kazi zake kwa
kuipokea kazi yake ya ‘Nimekubali Kuolewa’ kwani imeigia leo sokoni na
kununuliwa nakala zote hvyo inawabdiki wazalishe nakala nyingine zaidi.
“Asante Mungu muumba mbingu na
ardhi asante washabiki wangu kwa kuifanya hii movie leo kuingia sokoni
na kuisha copy zote dukani ila kesho zitaletwa copy zengine kwa maduka
yote niombe radhi kwa wote mliokosa leo msg zenu nimezipata kesho mzigo
utakuwa mwingi sana madukan asanten.kwa support yenu”
Dr Cheni ameandika kwenye ukurasa wake mtandaon.
Kama bado subiri kujipatia nakala yako.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )