Featured
Loading...

Ferooz Awashukia Msahabiki Wanaodai Anatumia Unga

Ferooz amewajia juu mashabiki wake katika mitandao ya kijamii baada ya kuambiwa anatumia madawa ya kulevya.
ferouz
Ferooz amedai baada ya Chidi Benz kuonekana afya yake imedhoofika kutokana na matumizi ya madawa ya kulevya basi mashabiki wanamchukulia kila msanii aliyepungua mwili wake anatumia unga.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Ferooz ameandika:
Tatizo la wabongo mnapenda kumjudge mtu na kupenda kumuongelea mabaya mtu tu na sio mazuri yake na hasa msanii asipotoa kazi zake kwa muda mrefu watu wanazusha rumors kibao wengine wameanza kutafuta kick kwa kunyooshea vidole wasanii wengine kisa kuna msanii kajitangaza yeye anakula unga sio kwamba Chidi Benz kutangaza hivyo ndio leo kila msanii ambae kapungua au hajasikika muda anakula unga mnaojaribu kuchafua jina langu kwa dizaini hiyo tafuteni namna nyingine ya kupata kick coz mtaibika mbeleni najitambua kuliko mnavyofikiri b**ch.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top