Akichonga na Showbiz, Malaika aliyewahi kubamba pia na Ngoma ya Sare Sare na Mwamtumu alisema kuwa katika picha ambayo aliachia kwenye ukurasa wake wa Instagram hivi karibuni ni kweli gari lake na kwamba hajahongwa na mtu.
“Ni kweli lile gari ni la kwangu na nipo katika utaratibu wa kulishughulikia litoke bandarini, sijahongwa na mtu jamani hao wanasema tu ila mimi nimesema nilichosema inatosha,” alisema Malaika.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )