Featured
Loading...

Picha: Jokate awakusanya Hamisa, Tunda na warembo wengine kutangaza nywele mpya

Wanawake wa Tanzania wameamua kupeana mashavu. Jokate Mwegelo amewatumia warembo maarufu wakiwemo Hamisa Mobeto, Miss Tanzania wa zamani, Gena Mpangala, na Tunda na Husna Maulid, kupromote nywele zake mpya za Malaika kupitia brand yake ya Kidoti.






Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top