Featured
Loading...

Lowassa: Kichapo Tulichowapa CCM Uchaguzi wa 2015 ndio Kimewapanikisha


Aliyekuwa mgombea urais CHADEMA Edward Lowassa amesema kipigo walichopata CCM mwaka 2015 ndio kimewapanikisha na kuanza kufanya mambo kwa fujo na kupiga marufuku mikutano ya vyama ambayo inaruhusiwa
kikatiba
Ametaka CHADEMA wasikate tamaa japokuwa wanafanyiwa mambo ili kuwa frustrate ili wasifanye kazi na wadharaulike na hawawezi
kukubali.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top