Featured
Loading...

Nyumba atakayoishi Rais Obama baada ya kuondoka White House January 2017


Nafahamu mtu wangu wa nguvu unatamani kujua mengi zaidi kuhusu Rais wa Marekani Barack Obama maisha yake baada ya kuondoka Ikulu (White House) au madarakani, July 2 2016 CCN wameonesha video ya nyumba atakayoishi Rais Obama baada ya kukabidhi madaraka January 2017 na kuondoka White House.
Kupitia kituo kikubwa cha TV Marekani na Dunia nzima Rais Obama baada ya kustaafu ataendelea kuishi Washington na atakuwa akiishi katika nyumba yenye vyumba 9, nyumba ambayo inatajwa kuwa na thamani ya dola milioni 6.3 ambazo ni zaidi ya Tsh Bilioni 13.
Icheki video ya nyumba yenyewe nimekuwekea hapa chini

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top