Huyu dogo anaitwa Yusuph Mohamed Nassor (2), baba yake Mzee Ahmed Nassor
(67) amesema wakati ana mwaka mmoja na nusu alisema anataka kuwa Rais
hivyo anamuandaa kuja kuwa Rais wa Tanzania mwaka 2050 kupitia Chama Cha
CCM. Yeye na Baba yake wamekuja Dar es Salaam kutoka Singida kwa
usafiri wa baiskeli kuja kuonana na Rais Magufuli
Nini maoni yako hapo?
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )