Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya Makubwa! Mtabiri maarufu
Bongo, Maalim Hussein Yahya ameanika nyota za baadhi ya mastaa wa Bongo
katika kipengele cha mapenzi au ngono, Risasi Jumamosi limesheheni.
Mtabiri maarufu Bongo, Maalim Hussein Yahya. Akizungumza na mapaparazi
wetu katikati ya wiki hii ofisini kwake Magomeni-Mwembechai jijini Dar,
Maalim alitumia saa kadhaa kuangalia nyota ya mmoja baada ya mwingine na
kueleza sifa zao katika sekta ya uhusiano na tendo la…
GPLTupe Maoni Yako( Matusi Hapana )