Featured
Loading...

Mwimbaji Rayvanny Afunguka Haya Baada ya Muonekano Wake Mpya Kuwakwaza Mashabiki Wake


"Nimeona comments nyingi kuhusu rasta nilizoweka lakini naomba watu waelewe kwamba haikuwa style yangu na wala sina mpango wa kufuga rasta nitabaki na style yangu moja tu maana nimeona jinsi nilivyowakwaza mashabiki wangu."- Raymond

Nini maoni yako?

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top