Featured
Loading...

NAWASHWA SEHEMU ZA SIRI, NA KUTOA MAJI MAJI YASIYOTOA HARUFU, NIFANYAJE?


Habari yako Vio, mimi nasumbuliwa na tatizo la kuwashwa sehemu za siri na ninavimba hii sehemu ya kukojolea  na nashindwa kuelewa nifanye nini dada yangu,,kwani ninawashwa mpaka natoa majimaji na ute visivyokuwa na harufu na nilishaenda kwa dr akaniambia ni ugonjwa unaotibika akanipa dawa nikazitumia bikaa muda ila tatizo limejirudia tena na nakosa amani sijui nifanyaje mwenzako nisaidie

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top