Featured
Loading...

Paul Pogba Akabidhiwa Jezi Namba 6


Baada ya kusajiliwa na Manchester United kutoka Juventus ya Italia kwa ada ya paundi milioni 89 kwa mkataba wa miaka mitano, Paul Pogba, amekabidhiwa jezi namba 6 ambayo pia alikuwa akivaa zamani alipokuwa Juventus kabla ya kupewa jezi namba 10. Tazama picha za staa huyo akiwa na uzi wa Man United.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top