Featured
Loading...

Update: Watanzania Wenzetu Waliokuwa Wametekwa huko DRC Congo Wameokolewa


Madereva wa malori kutoka Tanzania waliokuwa wametekwa katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo hatimaye wameokolewa na vikosi vya jeshi la nchi hiyo. Waziri wa mambo ya ndani wa nchi hiyo amezungumza na shirika la utangazaji la BBC na kusema wote wameokolewa   na wako salama Taarifa iliyotolewa jana  na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ilieleza...

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top