Featured
Loading...

WOLPER NI MKE WANGU, BADO UBANI TU – HARMONIZE




Baada ya Jacqueline Wolper kuthibitisha penzi lake kwa msanii wa WCB, Harmonize, muimbaji huyo wa ‘Bado’ ameibuka na kudai kuwa muigizaji huyo ni mke wake, na anachosubiri ni kuhalalisha tu.
Uhusiano wa wawili hao hauna hata mwezi tangu uweke bayana.
Akiongea na kipindi cha The Premier cha Kings FM, Harmonize alisema hajali watu wanavyosema kuwa Wolper ana umri mkubwa kumzidi.
Msikilize zaidi hapo chini akiongelea mahaba yake na Wolper.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top