Featured
Loading...

Nani zaidi kati ya Harmonize na Raymond? Kayumba apata kigugumizi kuamua

Nani mkali zaidi ya Harmonize na Raymond?
11382965_1775443522688514_1865335663_n
Vijana hawa walio chini ya label ya Diamond, WCB wanafanya vizuri kwa sasa kwa nyimbo zao ‘Bado’ na ‘Kwetu’ lakini kila linapokuja swali la nani mbabe zaidi ya mwenzie, wengi hupata kigugumizi, akiwemo mshindi wa BSS 2015, Kayumba.
“Mimi wale wote ni kaka zangu, wote napenda kazi wanazofanya,” Kayumba ameiambia Bongo5.
“Mimi sijaona utofauti wowote kati yao,” ameongeza. Kwa upande mwingine Kayumba amesema suala la kufanya nao ngoma haliepukiki.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top