Featured
Loading...

Zitto: Angalieni Hali ya Wanafunzi, Jirani yao Chato Inajengwa Airport ya zaidi ya TSh Bilioni 50

 
Mwanasiasa Machachari Zitto Kabwe ameweka picha hiyo hapo juu kwenye ukurasa wake wa Facebook na kuandika yafuatayo:
Watoto wa Shule ya Msingi Mnyala katika kata ya Nkome Wilaya ya Geita.
Jirani yao Chato inajengwa Airport ya zaidi ya tshs 50bn

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top