Featured
Loading...

KITU CHA AJABU AMBACHO MAMA KANUMBA AMEWAAMBIA SHILAWADU…!!


Baada ya kesi ya Lulu kufungwa yaani kufika tamati na hukumu kutolewa kw aLulu kutiwa hatiani kwa kifungo cha miaka miwili Jela.

Mama Kanumba kama desturi siku zote akina mama huwa wanakuwa wanapenda sana wanao, alionyesha kufurahishwa na hukumu kama ilivyotolewa na mahakama. “Naishukuru sana mahakama kwa kutenda haki katika hili”

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top