BILIONEA wa nyumba za Lugumi, Dkt Louis
Shika amemfungukia ‘Tanzania Sweetheart’, Wema Issac Sepetu kuwa ni staa
ambaye anamkubali ukiachana na huyo kwa upande wa muziki Ray C ni mmoja
wa mwanadada ambaye anamkubali kupitia nyimbo yake ya nataka niwe na
wewe milele.
Bilionea huyo ambaye amekuwa staa kwa
muda mfupi kwa umaarufu wa Jina la 900 Itapendeza baada ya mnada wa
nyumba za Lugumi bilionea akatambulika kwa jina hilo.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )