MWANAMITINDO Hamisa Mobeto, usiku wa
kuamkia leo amezindua rasmi Quality Centre jijini Dar muvi ambayo
ameshiriki kwa kiasi kikubwa inayoitwa, Zero Player, ambayo ilishutiwa
katika ukumbi wa Suncrest Cineplex.
Muvi hiyo ambayo imeshutiwa nchini, South Africa, na Mobeto ameigiza kama Mhusika mkuu huku akitumia jina la Jack, imeandaliwa na Allan Upamba, huku ikishirikisha wa sanii machachari kutoka Bongo, akiwemo Mobeto na Seth Bosco.
Muvi hiyo ambayo imeshutiwa nchini, South Africa, na Mobeto ameigiza kama Mhusika mkuu huku akitumia jina la Jack, imeandaliwa na Allan Upamba, huku ikishirikisha wa sanii machachari kutoka Bongo, akiwemo Mobeto na Seth Bosco.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )